sw_tn/1ch/28/06.md

643 B

Taarifa za jumla:

Daudi anaendelea kuongea na Waisraeli.

Aliniambia

"Mungu aliniambia"

nyumba yangu

Neno "nyumba" linamaana ya hekalu la Yahweh.

Nimemchagua yeye kuwa mwana wangu, nami nitakuwa baba yake

Hii haimaanishi kwamba Solomoni amekuwa kabisa mwana wa Mungu, ila inaeleza mahusiano binafsi kati yake na Mungu watakayo kuwanayo. "Nimemchagua yeye kumtendea kama mwanangu, na nitakuwa kama baba kwake"

amri zangu na sheria

Haya maneno mawili kwa ujumla yana maana moja inayoelezea kila kitu ambacho Yahweh alikiamuru.

kama ulivyo siku ya leo

Neno "ulivyo" hapa linamuelezea Daudi. "kama ulivyokabidhiwa hii siku"