sw_tn/1ch/26/15.md

433 B

Obedi Edomu kulipangiwa lango la kusini, na wanae walipangiwa nyumba za ghala

"Obedi Edomu ilikuwa na wajibu wakulinda lango la kusini, na wana wake walilinda nyumba za ghala"

Obedi Edomu

Ona jinsi ulivyo tafsiri 26:4

Shupimu

Hili ni jina la mwanamume

Hosa

Ona jinsi ulivyo tafsiri 26:10

Shalekethi

Hilil ni jina la lango.

Lindo lilikabiidhiwa kwa kila familia.

"Kila familia ilikuwa na wajibu wakulinda kitu"