sw_tn/1ch/26/01.md

540 B

Maelezo ya Jumla

Hii yaanza orodha ya walinzi wa lango

Wakora

Ona jinsi ulivyo tafsiri 9:17

Meshelemia

Ona jinsi ulivyo tafsiri 9:20

Kore

Ona jinsi ulivyo tafsiri 9:17

Asafu

Hili ni jina mbadala la "Ebiasafu" 9:17

Zekaria

Ona jinsi ulivyo tafsiri 9:20

Yediali ... Zebadia ... Yathnieli ... Elamu ... Yehonani ... Eliehoenai

Haya ni majina ya wanaume

wa pili ... watatu ... ya nne ... wa saba

Hii yaonyesha utaratibu ya wana kuzaliwa. "namba 2 ... namba 3 ... namba 4 ... namba 7" au "afuatae" kwa kila mmoja.