sw_tn/1ch/23/04.md

429 B

Kwa hawa, elfu ishirini na nne

elfu nne "Kwa hawa Walawi, 24,000"

elfu sita

"Walawi 6,000"

maaskari na waamuzi

Hawa Walawi walisikiliza mashtaka ya kisheria na kutoa haki kwa mujibu wa sheria ya Musa.

Elfu nne

"Walawi 4,000

walinzi wa lango

Hawa Walawi walilinda lango ili mtu najisi hasiingie"

kulingana

"kwa mujibu wa" au "kwa uzao wa"

Gerishoni, Kohathi, na Merari

Haya ni majina ya wana wa Walawi.