sw_tn/1ch/22/15.md

222 B

Maelezo ya jumla

Daudi anaendelea kusema na Sulemani.

wachonga mawe

Hawa ni wafanya kazi ambao wanakata mawe na kuandaa kwa ajili ya wajenzi wa kuta na majengo.

maseremala

Hawa ni watu wanao fanya kazi na mbao.