sw_tn/1ch/21/16.md

318 B

akiwa na upanga mkonono mwake

"tayari kushambulia"

Sio mimi niliye amuru jeshi kuhesabiwa?

"Mimi ndiye niliye amuru jeshi lihesabiwe"

Lakini hawa kondoo

Daudi anawaelezea watu wa Israeli kama aina ya wanyama watao muamini na kumfuata kiongozi.

wamefanya nini?

"Hawaja fanya kitu kinacho stahili adhabu"