sw_tn/1ch/18/14.md

586 B

Zeruia ... Ahiludi ... Ahitubi ... Abiathari ... Shavisha ... Benaia ... Yehoiada

Haya ni majina ya wanaume.

mtunza kumbukumbu

mtu anaye fanya kazi ya kuandika maelezo ya maalumu ya matukio.

Ahimeleki

Hili jina linawakilisha sahisho la "Abimeleki," ambalo tafsiri zingine zinatumia. Sahisho hili linafanya huu mstari ukubaliane na 8:15.

Zadoki mwana wa Ahitubi na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani

Baadhi ya tafsiri ina sahisha hili kusema kwamba Ahitubi na Ahimeleki walikuwa makuhani wa kuu.

Wakerethi ... Wapelethi

Haya ni majina ya makundi ya watu.