forked from WA-Catalog/sw_tn
586 B
586 B
Zeruia ... Ahiludi ... Ahitubi ... Abiathari ... Shavisha ... Benaia ... Yehoiada
Haya ni majina ya wanaume.
mtunza kumbukumbu
mtu anaye fanya kazi ya kuandika maelezo ya maalumu ya matukio.
Ahimeleki
Hili jina linawakilisha sahisho la "Abimeleki," ambalo tafsiri zingine zinatumia. Sahisho hili linafanya huu mstari ukubaliane na 8:15.
Zadoki mwana wa Ahitubi na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani
Baadhi ya tafsiri ina sahisha hili kusema kwamba Ahitubi na Ahimeleki walikuwa makuhani wa kuu.
Wakerethi ... Wapelethi
Haya ni majina ya makundi ya watu.