forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
586 B
Markdown
20 lines
586 B
Markdown
|
# Zeruia ... Ahiludi ... Ahitubi ... Abiathari ... Shavisha ... Benaia ... Yehoiada
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# mtunza kumbukumbu
|
||
|
|
||
|
mtu anaye fanya kazi ya kuandika maelezo ya maalumu ya matukio.
|
||
|
|
||
|
# Ahimeleki
|
||
|
|
||
|
Hili jina linawakilisha sahisho la "Abimeleki," ambalo tafsiri zingine zinatumia. Sahisho hili linafanya huu mstari ukubaliane na 8:15.
|
||
|
|
||
|
# Zadoki mwana wa Ahitubi na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya tafsiri ina sahisha hili kusema kwamba Ahitubi na Ahimeleki walikuwa makuhani wa kuu.
|
||
|
|
||
|
# Wakerethi ... Wapelethi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya makundi ya watu.
|