forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
412 B
Markdown
20 lines
412 B
Markdown
# Abishai ... Zeruia
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# Waedomi elfu kumi na nane
|
|
|
|
"Waedomi 18,000"
|
|
|
|
# Bonde la Chumvi
|
|
|
|
Hili ni jina la bonde katika ya Edomu na Yuda uliyo tumika kama uwanja wa pambano.
|
|
|
|
# vikosi
|
|
|
|
makundi ya wana jeshi yaliyo pangwa sehemu maalumu.
|
|
|
|
# Waedomi wote wakawa watumishi wa Daudi
|
|
|
|
"watu wa Edomi walilazimishwa kumkubali Daudi kama mfalme na kulipa pesa kwa serikali ya Daudi kila mwaka"
|