sw_tn/1ch/18/12.md

412 B

Abishai ... Zeruia

Haya ni majina ya wanaume.

Waedomi elfu kumi na nane

"Waedomi 18,000"

Bonde la Chumvi

Hili ni jina la bonde katika ya Edomu na Yuda uliyo tumika kama uwanja wa pambano.

vikosi

makundi ya wana jeshi yaliyo pangwa sehemu maalumu.

Waedomi wote wakawa watumishi wa Daudi

"watu wa Edomi walilazimishwa kumkubali Daudi kama mfalme na kulipa pesa kwa serikali ya Daudi kila mwaka"