sw_tn/1ch/17/09.md

722 B

Maelezo ya Jumla

Mungu anaendelea kuzungumza ujumbe Nathani anao paswa kumpa Daudi.

nitawapanda hapo

Mungu ana taja kuwaweka Waisraeli kwenye nchi ya ahadi kama mmea aliyo uotesha kwenye ardhi. "Nitawapandikisha hapo"

siku zile nilipo waamuru

Kipindi cha vizazi vingi kina tajwa kama siku. "nilipo amuru" au kutoka vizazi nilivyo amuru"

kuwa juu ya watu wangu Waisraeli

Kuwa katika mamlaka yaelezwa kama kua juu ya mtu. "kuwaamuru watu wangu Israeli"

maadui zako wote ... nina kwambia

Maneno "zako" na "nina kwambia" ya muhusu Daudi.

nitawatiisha

kumfanya mtu au mnyama asiweze kutembea.

nitakujengea nyumba

Yahweh anaeleza kumpa Daudi wazao wengi kutawala juu ya Israeli kama kumjenga nyumba.