sw_tn/1ch/11/24.md

380 B

akatajwa miongoni mwa wale wanaume hodari watatu

"alikuwa maarufu kama wanaume hodari 3"

Alisifika zaidi ya wale wanajeshi thelathini kwa ujumla, lakini hakuwa pewa hadhi ya wale wanajeshi watatu hodari

"Watu walimheshimu kuliko wana jeshi wale 30, lakini sio zaidi ya wale 3 wenye ujuzi wa juu"

walinzi

Huyu ni mtu au kundi la watu wenye wajibu wakumlinda mtu muhimu.