sw_tn/1ch/11/22.md

233 B

mambo makuu

Haya ni matendo yanayoonyesha ujasiri, uweza, au ujuzi.

theluji ikianguka

"wakati wa dhoruba ya theluji"

lakini alimfuata chini

"Benaia alikutana na Mmisri"

mkuki kama gongo la mshonaji

"mkuki mkubwa sana"