sw_tn/1ch/11/15.md

325 B

watatu wa viongozi thelathini

"3 wa 30"

Kwa wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu

Daudi alikuwa sehemu salama katika pango wakati wana jeshi Wafilisti wakilinda Bethlehemu"

Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu

"Wafilisti waliweka wana jeshi Bethilehemu"