sw_tn/1ch/11/04.md

278 B

Yebusi

Hili lilikuwa jina fupi la Yerusalemu baada ya Wayebusi kuuteka mji, kabla ya Waisraeli kuchukuwa.

Daudi alichukuwa

"Lakini jeshi la Daudi lilishinda"

mji wa Daudi

"na wakauita mji wa Daudi"

hivyo akafanywa mkuu wa jeshi

"Hivyo Daudi akamfanya Yoabu mkuu"