sw_tn/1ch/09/22.md

321 B

Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao

"Nakala zao katika vijiji vya hawa watu vilijumuisha majina ya hawa wanaume

watoto wao

"uzao wao"

Walinzi wa mageti waliwekwa

"wanaume walilinda miingilio"

pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini

"pande zote"