sw_tn/1ch/09/17.md

332 B

Walinzi wa lango

"askari" au "walinzi wa lango"

Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi

"Uzao wa Walawi ulilinda lango la mfalme upande wa mashariki ya kambi"

mlango wa hema ... ango la kuingilia

Haya maneno yote yanaelezea mwingilio wa hema ya kukutania, au maskani