sw_tn/1ch/06/13.md

360 B

Hilikia ... Seraia ... Yehozadaki

Haya ni majina ya wanaume.

wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.

Nguvu ya Nebukadneza kupitia jeshi lake inafafanuliwa kama sehemu ya mwili wake ("mkono") alitumika kuongoza jeshi lake. " aliruhusu jeshi la Nebukadneza kushinda majeshi ya Yuda na Yerusalemu na kuchukua watu kwenda matekani."