forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
670 B
Markdown
20 lines
670 B
Markdown
# sasa Ruben
|
|
|
|
Neno "sasa" limetumika hapa kuweka alama ya mabadiliko kutoka orodha ya uzao hadi maelezo ya awali ya Rubeni
|
|
|
|
# lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli
|
|
|
|
"lakini Israeli aliwapa haki ya mzaliwa wa kwanza ya Rubeni kwa wana wa Yusufu, mwengine wa watoto wa Israeli"
|
|
|
|
# Rubeni alinajisi kochi la baba yake
|
|
|
|
Hii ni namna ya adabu ya kusema kuwa Rubeni alilala na mke wa pili wa baba yake. Kochi ni sehemu mwanaume na mke wake walilala pamoja.
|
|
|
|
# Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza
|
|
|
|
"Hivyo historia ya familia ya haimuorodheshi Rubeni kama mwana mkubwa"
|
|
|
|
# Hanoki, Palu, Hezroni, Karmi
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume
|