sw_tn/1ch/05/01.md

670 B

sasa Ruben

Neno "sasa" limetumika hapa kuweka alama ya mabadiliko kutoka orodha ya uzao hadi maelezo ya awali ya Rubeni

lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli

"lakini Israeli aliwapa haki ya mzaliwa wa kwanza ya Rubeni kwa wana wa Yusufu, mwengine wa watoto wa Israeli"

Rubeni alinajisi kochi la baba yake

Hii ni namna ya adabu ya kusema kuwa Rubeni alilala na mke wa pili wa baba yake. Kochi ni sehemu mwanaume na mke wake walilala pamoja.

Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza

"Hivyo historia ya familia ya haimuorodheshi Rubeni kama mwana mkubwa"

Hanoki, Palu, Hezroni, Karmi

Haya ni majina ya wanaume