sw_tn/1ch/03/10.md

480 B

Maelezo ya jumla:

Huu ni mwanzo wa orodha ya uzao wa Daudi ya walio kuwa wafalme.

Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya

Sulemani alikuwa na zaidi ya mwana mmoja. Hii ni kweli kwa kwa wanaume wengine kwenye orodha. "Sulemani alikuwa baba wa Rehoboamu. Rehoboamu alikuwa baba wa Abiya"

Azaria

Hili ni jina lingine la Uzia, jina linalo julikana vizuri kwa huyu mfalme. Wafasiri wanaweza amua kutumia "Uzia" kila sehemu kwa huyu mfalme.