forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
480 B
Markdown
12 lines
480 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa orodha ya uzao wa Daudi ya walio kuwa wafalme.
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya
|
||
|
|
||
|
Sulemani alikuwa na zaidi ya mwana mmoja. Hii ni kweli kwa kwa wanaume wengine kwenye orodha. "Sulemani alikuwa baba wa Rehoboamu. Rehoboamu alikuwa baba wa Abiya"
|
||
|
|
||
|
# Azaria
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina lingine la Uzia, jina linalo julikana vizuri kwa huyu mfalme. Wafasiri wanaweza amua kutumia "Uzia" kila sehemu kwa huyu mfalme.
|