This whole chapter concerns the concept of believing Jesus to be the Messiah. Some people believed this to be true while others rejected it. Some were willing to recognize his power and even the possibility that he was a prophet, but most were unwilling to believe that he was the Messiah. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/christ]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet]])
Hii ni mfano muhimu inayotumiwa katika Agano Jipya. Ni mfano. Kwa sababu mfano huu unatolewa katika mazingira ya jangwa, labda inaonyesha kuwa Yesu anaweza kutoa chakula cha kudumisha maisha. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
Nikodemo anawaelezea Mafarisayo wengine kwamba Sheria inamlazimisha asikie mtu moja kwa moja kabla ya kutoa hukumu juu yake. Mafarisayo kwa upande wao walifanya hukumu juu ya Yesu bila kuzungumza na Yesu.
Neno hili linatumika kwa njia mbili tofauti katika kifungu hiki. Linatumika hasa kwa kutaja upinzani wa viongozi wa Kiyahudi waliokuwa wakijaribu kumwua (Yohana 7:1). Pia hutumiwa kwa kutaja watu wa Yudea kwa ujumla ambao walikuwa na maoni mazuri ya Yesu (Yohana 7:13). Mtafsiri anaweza kutumia maneno "viongozi wa Kiyahudi" na "watu wa Kiyahudi" au "Wayahudi (viongozi)" na "Wayahudi (kwa ujumla)."