forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
465 B
Markdown
20 lines
465 B
Markdown
|
# kinganishi cha maneno
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kuongea na mkutano na viongozi wa Wayahudi.
|
||
|
|
||
|
# Amini, amini
|
||
|
|
||
|
Tafsiri hii kama ulivyo tafsiri maneno mengine ya namna hii.
|
||
|
|
||
|
# hakuna mtua yeyote aliyemwona, isipokuwa yeye aliyetoka kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
Ingawa hakuna mwadamu aishie katika dunia amemwona Mungu Baba, Yesu, Mwana wa Mungu, amemwona Baba.
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Cheo muhimu kwa mungu.
|
||
|
|
||
|
# yeye aaminiye ana uzima wa milele
|
||
|
|
||
|
"uzima wa milele" umeunganishwa katika Yesu, Mwana wa Mungu.
|