forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
368 B
Markdown
20 lines
368 B
Markdown
|
# Mungu atadhihirisha ujio wake
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kumaanisha kuwa Mungu atamdhihirisha Yesu
|
||
|
|
||
|
# kwa wakati sahihi
|
||
|
|
||
|
kwa wakati unaofaa/muafaka
|
||
|
|
||
|
# mbarikiwa
|
||
|
|
||
|
Anayestahili sifa. Hii inamaanisha Mungu Baba
|
||
|
|
||
|
# Peke yake anaishi milele
|
||
|
|
||
|
Yeye pekee ana nguvu ya kuishi milele
|
||
|
|
||
|
# akaaye katika mwanga usiokaribiwa
|
||
|
|
||
|
anakaa katika mwaka unaong'aa sana ambao hakuna awezaye kuukaribia
|