forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
657 B
Markdown
32 lines
657 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kwaeleza wanafunzi wake mfano wa mpanzi
|
||
|
|
||
|
# yeye aliyepandwa katika miamba
|
||
|
|
||
|
"kilichopandwa" kinamaanisha mbegu iliyoanguka kwenye miamba.
|
||
|
|
||
|
# Kilichopandwa kwenye miamba ni
|
||
|
|
||
|
miamba ambapo mbegu zilianguka inmaanisha udongo uliokuwa juu ya miamba ambapo mbegu zilianguka
|
||
|
|
||
|
# yule asikiaye neno
|
||
|
|
||
|
katika mfano, mbegu zinamaanisha neno
|
||
|
|
||
|
# neno
|
||
|
|
||
|
ujumbe wa Muungu
|
||
|
|
||
|
# hulipokea kwa furaha
|
||
|
|
||
|
kulipokea neno kwa furaha
|
||
|
|
||
|
# ila hana mizizi ndani yake hiyo huvumilia kwa kitambo kifupi.
|
||
|
|
||
|
mizizi inamaanisha kile kinachomfanya mtu aendelee kuamini ujumbe wa Mungu
|
||
|
|
||
|
# hujikwaa ghafla
|
||
|
|
||
|
kujikwaa humaanisha kuacha kuamini ujumbe wa Mungu
|