forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
517 B
Markdown
16 lines
517 B
Markdown
|
# Sisi tulioukulia wokovu, tunapaswa kuwaza namna hii.
|
||
|
|
||
|
Paulo alitaka wakristo wenzake wawe na hamu ile ile kama yeye alivyo. Kuwa imara katika imani Kufikiri katika jambo moja.
|
||
|
|
||
|
# Mungu pia atalifunua hilo kwenu
|
||
|
|
||
|
"Mungu pia atalifanya wazi kwako" au "Mungu atakuhakikishia unalijua"
|
||
|
|
||
|
# Mungu atakifunua hilo kwenu
|
||
|
|
||
|
Mungu ataweza wazi hilo jambo au kitu hicho kwako/kwenu
|
||
|
|
||
|
# Kwa vyovyote tulivyokwisha kuwa , na tuenende katika hali hiyo
|
||
|
|
||
|
Na tuendelee kuutii ukweli wa neno la Mungu ule ambao tumekwisha pata tayari.
|