sw_tn/gal/05/intro.md

30 lines
1.1 KiB
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Wagalatia 05 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na upangiliaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anaendelea kuandika juu ya sheria ya Musa kama kitu kinachomtega mtu au kumfanya mtumwa. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Tunda la Roho
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
aneno "tunda la Roho" sio wingi, ingawa huanza orodha ya vitu kadhaa. Watafsiri wanapaswa kuweka fomu ya umoja ikiwezekana. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/other/fruit]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Mfano muhimu ya matamshi katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Mifano
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anatumia mifano kadhaa katika sura hii ili kuonyesha pointi zake na kusaidia kuelezea masuala magumu. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### "Ninyi mmekatwa kutoka kwa Kristo, ninyi mtakaohesabiwa haki na sheria, hamna tena neema."
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Wasomi wengine wanafikiri kama Paulo anafundisha kwamba kutahiriwa husababisha mtu kupoteza wokovu wake. Wataalamu wengine wanafikiri kama Paulo anamaanisha kwamba kutii sheria ili kujaribu kupata haki na Mungu utamzuia mtu kuokolewa kwa neema. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/grace]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
* __[Galatians 05:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../04/intro.md) | [>>](../06/intro.md)__