sw_tn/col/01/intro.md

33 lines
1.4 KiB
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Wakolosai 01 Maelezo kwa ujumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na Mpangilio
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Kama barua ya kawaida, Paulo ananza barua yake katika mistari ya 1-2 kwa kumtambulisha Timotheo na kujitambulisha kwa Wakristo wa Kolosai.
Paulo anazungumzia maswala mawili katika sura hii: Kristo ni nani na amefanyia Wakristo nini.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Ukweli wa siri
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anaashiria ukweli wa siri katika sura hii. Jukumu la kanisa katika mipango ya Mungu halikujulikana hapo mwanzo. Lakini sasa Mungu amelitambulisha. Moja ya siri hii inahusisha watu wa Mataifa kuwa na nafasi sawa na Wayahudi katika mipango ya Mungu. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reveal]]).
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Mifano muhimu katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Picha za maisha ya Kikristo
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anatumia picha nyingi kuelezea maisha ya Kikristo katika sura hii. Anatumia mifano ya "kutembea" na "Kuzaa matunda." (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/other/fruit]]
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Sehemu zingine zenye utata katika tafsiri ya sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Kitendawili
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Kitendawili ni kauli ya ukweli inayaonekana kuelezea kitu kisichowezekana. Mstari wa 24 ni kitandawili: "Sasa ninafurahia katika mateso yangu kwa ajili yenu." Mara nyingi watu hawafurahi wakati wanapoteseka. Lakini katika mistari ya 25-29 Paulo anaelezea ni kwa nini mateso yake ni mazuri. (Wakolosai 1:24)
## Links:
* __[Colossians 01:01 Notes](./01.md)__
* __[Colossians intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__