sw_tn/2ti/02/intro.md

24 lines
764 B
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# 2 Timotheo 02 Maelezo kwa Ujumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na mpangilio
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Matoleo mengine yanaweka maneno kulia kwa ukurasa kuliko maandishi mengine. ULB hufanya hivi na aya za 11-13 kuliko aya zingine. Huenda Paulo ananukuu shairi ama wimbo katika mistari hii.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana muhimu katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### "Tutatawala naye
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Wakristo waaminifu watatawala pamoja na Kristo siku zijazo. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faithful]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Mifano muhimu ya usemi katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Mifano
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Katika sura hii, Paulo anatumia mifano nyingi kufundisha maisha ya kikristo. Anatumia mifano ya mwanajeshi, mwanariadha na mkulima. Baadaye anatumia mifano ya aina nyingi ya vyombo vya nyumbani.
## Links:
* __[2 Timothy 02:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__