sw_tn/2co/07/intro.md

32 lines
1.2 KiB
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# 2 Wakorintho 07 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na upangiliaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Katika mistari ya 2-4, Paulo anamaliza kujitetea kwake. Halafu anaandika juu ya kurudi kwa Tito na faraja iliyoletwa.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Usafi na uchafu
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Wakristo ni "wasafi" kwa maana kwamba Mungu amewatakasa kutoka kwa dhambi. Hawakuhitaji ya kuwa na wasiwasi ya kuwa safi kulingana na sheria ya Musa. Kuishi kwa ukafiri huweza kumfanya Mkristo kutokuwa msafi. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/clean]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Huzuni na masikitiko
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Maneno "huzuni" na "masikitiko" katika sura hii yanaonyesha kwamba Wakorintho walikuwa wamesononeka kiasi cha kutubu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/repent]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Sisi
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Labda Paulo anatumia neno "sisi" kuwakilisha Timotheo na yeye mwenyewe. Au labda anawajumuisha watu wengine pia.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Hali ya awali
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Sura hii inazungumzia kwa kina hali nyingine ya awali. Tunaweza kufikiria mambo fulani ya hali hii kutokana na taarifa katika sura hii. Lakini ni bora kutoingiza aina hii ya habari kamili katika tafsiri. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
* __[2 Corinthians 07:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../06/intro.md) | [>>](../08/intro.md)__