sw_tn/2co/04/intro.md

34 lines
1.5 KiB
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# 2 Wakorintho 04 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na upangiliaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
Sura hii inaanza na neno "kwa hiyo." Neno hili linaunganisha na neno lililofundishwa katika sura ya awali. Jinsi sura hizi zinagawanyika inaweza kumchanganya msomaji.
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Huduma
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anawahudumia watu kwa kuwaambia kuhusu Kristo. Yeye hajaribu kuwadanganya watu kuamini. Ikiwa hawaelewi injili, ni kwa sababu tatizo ni la kiroho. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Mifanu muhimu ya matamshi katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Mwanga na giza
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Biblia mara nyingi inazungumza juu ya watu wasio na haki, watu ambao hawana fadhili za Mungu, kama wanaozunguka gizani. Inazungumzia mwanga ni kama inawawezesha watu wenye dhambi kuwa waadilifu, kuelewa kile wanachokosea na kuanza kumtii Mungu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Maisha na kifo
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo hataji hapa maisha ya kimwili na kifo ya kimwili. Maisha inawakilisha maisha mapya Mkristo aliyo nayo katika Yesu. Kifo kinawakilisha njia ya zamani ya kuishi kabla ya kumwamini Yesu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/life]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/death]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Matumaini
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anarudia katika mawazo kwa namuna ya kimakusudi. Anatoa taarifa. Kisha anatoa maneno yanayoonekana kuwa kukataa au kupinga au kutoa utofauti. Haya yote pamoja yanampa msomaji tumaini katika hali ngumu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/hope]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
* __[2 Corinthians 04:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__