sw_tn/1th/02/intro.md

18 lines
789 B
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# 1 Wathesalonike 02 Maelezo kwa ujumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana muhimu katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Shahidi ya Mkristo
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anathamini "Shahidi yake ya Kikristo" kama dhihirisho kwamba injili ni ya ukweli. Paulo anasema kwamba kuwa mtakatifu ama kuishi uungu unashuhudia wasio Wakristo. Paulo anatetea tabia yake ili shahidi wake isiathiriwe. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/testimony]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/godly]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/holy]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Kuishi Kikristo
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Sheria ya Musa ilihitaji watu kutoa dhabihu ya wanyama au ya nafaka ndani ya hekalu. Mungu hahitaji dhabihu nyakati hizi. Mungu anahitaji watu waishi kama sadaka.Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
* __[1 Thessalonians 02:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__