sw_tn/1co/09/intro.md

34 lines
1.5 KiB
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# 1 Wakorintho 09 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na upangiliaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Paulo anajitetea katika sura hii. Watu wengine walidai kwamba alikuwa anajaribu kupata fedha kutoka kanisani.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Kupata pesa kutoka kanisani
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
Watu walimshtaki Paulo kwa kutaka fedha tu kutoka kanisani. Paulo alijibu kwamba angeweza kupata fedha kutoka kanisa kwa njia ya haki. Agano la Kale lilifundisha kwamba wale waliofanya kazi wanapaswa kukilisha kutoka kwa kazi zao. Yeye na Barnaba hawakutumia kamwe haki hii kimakusudi ili kujikimu maisha yao wenyewe.
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Mifano
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anatumia mifano nyingi katika sura hii. Sitiari hizi hifundisho maneno ya ukweli ngumu. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Muktadha
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Kifungu hiki ni muhimu kwa sababu Paulo "anaweka katika muktadha" kuhubiri kwa injili kwa watu mbalimbali. Hii ina maana kwamba Paulo hujiweka mwenyewe pamoja na Injili kueleweka, bila matendo yake kuzuia injili. Mtafsiri anapaswa kuchukua huduma ya ziada kuhifadhi nyanja za "kuwekwa katika muktadha" hii ikiwa inawezekana. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Maswali ya uhuishaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anatumia maswali mengi ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza maneno mbalimbali anapofundisha Wakorintho.(See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
* __[1 Corinthians 09:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../08/intro.md) | [>>](../10/intro.md)__