sw_tn/1co/06/intro.md

24 lines
942 B
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# 1 Wakorintho 06 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Mashtaka
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anafundisha kwamba Mkristo hapaswi kuchukua Mkristo mwingine kwa mahakamani mbele ya hakimu asiye Mkristo. Ni bora zaidi kudanganywa. Wakristo watawahukumu malaika. Kwa hiyo wanapaswa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo kati yao wenyewe. Ni mbaya sana kutumia mahakama kumdanganya mwamini mwingine. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/judge]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Mfano
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Hekalu la Roho Mtakatifu ni mfano muhimu. Inaelezea mahali ambapo Roho Mtakatifu anakaa na kuabudiwa. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Maswali ya uhuishaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anatumia maswali kadhaa ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza manen muhimu anapofundisha Wakorintho. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
* __[1 Corinthians 06:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../05/intro.md) | [>>](../07/intro.md)__