forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
902 B
Markdown
37 lines
902 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hapa ni mwanzo wa maono mengine. Yohana anaanza kuelezea mpandaji wa farasi nyeupe.
|
||
|
|
||
|
# Kisha niliona mbingu zimefunguka
|
||
|
|
||
|
Hii picha inatumika kuashiria mwanzo wa maono mapya.
|
||
|
|
||
|
# yule aliyekuwa amempanda
|
||
|
|
||
|
Aliyempanda ni Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Huhukumu kwa haki
|
||
|
|
||
|
Hapa "haki" inamaanisha kile kilicho sahihi. "Anahukumu watu wote kulingana na kile kilicho sahihi"
|
||
|
|
||
|
# Macho yake ni kama mwali wa moto
|
||
|
|
||
|
Yohana anazungumzia macho ya mpandaji kama vile yaling'aa kama mwali wa moto.
|
||
|
|
||
|
# jina lililoandikwa juu yake
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtu ameandika jina juu yake"
|
||
|
|
||
|
# asilolifahamu mtu yeyote isipokuwa yeye mwenyewe
|
||
|
|
||
|
"Yeye tu ndiye ajuae maana ya jina hilo"
|
||
|
|
||
|
# Amevaa vazi lililochovywa katika damu
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Damu imefunika vazi lake"
|
||
|
|
||
|
# jina lake anaitwa Neno la Mungu
|
||
|
|
||
|
Unaweza kueleza hii kwa hali ya kutenda. "jina lake pia ni Neno la Mungu"
|
||
|
|