forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
615 B
Markdown
21 lines
615 B
Markdown
|
# shimo lisilo na mwisho
|
||
|
|
||
|
Hili ni shimo refu sana. Maana zinazowezekana ni 1)shimo halina mwisho chini; inaendelea kwenda chini zaidi milele au 2) shimo ni refu sana hata linakuwa kana kwamba halina mwisho.
|
||
|
|
||
|
# Kisha ataendelea na uharibifu
|
||
|
|
||
|
Nomino "uharibifu" inaweza kutafsiriwa na kitenzi. "Kisha ataangamizwa" au "Kisha Mungu atamuangamiza"
|
||
|
|
||
|
# ataendelea na uharibifu
|
||
|
|
||
|
Uhakika wa kile kitakachotokea baadae kinazungumziwa kana kwamba mnyama anaendako.
|
||
|
|
||
|
# wale ambao majina yao hayakuandikwa
|
||
|
|
||
|
"wale ambao majina yao hayajaandikwa na Mungu"
|
||
|
|
||
|
# tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu
|
||
|
|
||
|
"kabla Mungu hajaumba ulimwengu"
|
||
|
|