forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
542 B
Markdown
25 lines
542 B
Markdown
|
# Wekeni mbali uongo
|
||
|
|
||
|
"Lazima mwache kusema uongo"
|
||
|
|
||
|
# Mnene ukweli, kila mmoja na jirani yake
|
||
|
|
||
|
"Waamini lazima wanene ukweli kwa majirani zao"
|
||
|
|
||
|
# Sisi ni wajumbe kila mmoja kwa mwingine
|
||
|
|
||
|
"Sisi sote ni wajumbe wa familia ya Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Mwe na hasira, lakini msitende dhambi
|
||
|
|
||
|
"mnaweza kukasirika, lakini msitende dhambi"
|
||
|
|
||
|
# Msiliruhusu jua kuzama mkiwa na hasira zenu
|
||
|
|
||
|
"Lazima mwache kuwa na hasira kabla usiku haujaingia" au "muiondoe hasira yenu kabla ya siku haijaisha"
|
||
|
|
||
|
# msimpe ibilisi nafasi
|
||
|
|
||
|
"Msimpe ibilisi fursa ya kukupeleka dhambini"
|
||
|
|