forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
730 B
Markdown
37 lines
730 B
Markdown
|
# nayo
|
||
|
|
||
|
Hapa "nayo" urejea kwa mnyama atakayetolewa dhabihu na kuliwa.
|
||
|
|
||
|
# siku saba
|
||
|
|
||
|
"siku 7"
|
||
|
|
||
|
# mkate wa taabu
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa jina la mkate usiotiwa chachu.Maana kamili inaweza kutajwa kwa waziwazi.
|
||
|
|
||
|
# nje ya ardhi ya Misri kwa haraka
|
||
|
|
||
|
Watu walipaswa kuondoka Misri kwa haraka ambako hakuwa na muda wa kutosha kufanya mkate wa amila.
|
||
|
|
||
|
# Fanya hili kwa siku zote za maisha yako
|
||
|
|
||
|
"Fanya hili kwa muda mrefu unapoishi"
|
||
|
|
||
|
# kumbuka akilini
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau. "kumbuka"
|
||
|
|
||
|
# Hakuna chachu lazima ionekane kati yenu
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutajwa kwa mfumo tendaji. "Haupaswi kuwa na chachu yoyote miongoni mwenu"
|
||
|
|
||
|
# ndani ya mipaka yenu
|
||
|
|
||
|
"ndani ya wilaya yako yote" au "katika nchi yako yote"
|
||
|
|
||
|
# siku ya kwanza
|
||
|
|
||
|
Hii "kwanza" ni namba ya upeo kwa moja.
|
||
|
|