forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
408 B
Markdown
21 lines
408 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwisho wa kipindi cha Paulo kuwa huko Kaisaria.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Neno 'sisi' linamhusu Luka, Paulo na wale waliosafiri pamoja nao.
|
||
|
|
||
|
# Pamoja walimleta mtu
|
||
|
|
||
|
"Miongoni mwao alikuwemo mtu mwingine"
|
||
|
|
||
|
# Mnasoni, mtu kutoka Kupro
|
||
|
|
||
|
Mnasoni alikuwa mtu kutoka kisiwa cha Kupro.
|
||
|
|
||
|
# mwanafunzi wa kwanza
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha Mnason alikuwa muumini wa Yesu aliyeamini mwanzoni mwa huduma.
|
||
|
|