forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
713 B
Markdown
29 lines
713 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Habari ya Paulo na Barnaba Ikonia inaendelea.
|
||
|
|
||
|
# Ikatokea katika Ikonia ya kwamba
|
||
|
|
||
|
Maana hapa yawezekana kuwa 1) "ilitokea Ikonia ya kwamba" au 2) "Kama kawaida ndani ya Ikonia"
|
||
|
|
||
|
# alizungumza kwa namna ambayo
|
||
|
|
||
|
"alizungumza kwa namna ambayo." Inaweza kusaidia kutamka kwamba walizungumza ujumbe kuhusu Yesu. "walizungumza ujumbe kuhusu Yesu kwa nguvu"
|
||
|
|
||
|
# Wayahudi waliokuwa hawatii
|
||
|
|
||
|
Hii inalenga kikundi cha Wayahudi ambao hawakumuamini ujumbe wa Yesu.
|
||
|
|
||
|
# kutikisa akili za Wayunani
|
||
|
|
||
|
kusababisha Wayunani kuwa na hasira inazungumzwa kana kwamba maji yaliyotulia kuchafuliwa.
|
||
|
|
||
|
# akili
|
||
|
|
||
|
hapa neno "akili" linamaanisha watu
|
||
|
|
||
|
# ndugu
|
||
|
|
||
|
hapa "ndugu" linamaanisha Paulo na Barnaba na waumini wapya.
|
||
|
|