forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
847 B
Markdown
33 lines
847 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Viwakilishi vya majina hapa vinamuwakilisha Paulo na kundi lote la watu waliokuwemo kwenye Sinagogi.
|
||
|
|
||
|
# Ndugu, watoto wa ukoo wa Abrahamu, na wale ambao kati yenu mnamwabudu Mungu
|
||
|
|
||
|
Paulo analielezea kundi la Wayahudi na wale wa mataifa walioungia katika dini ya kiyahudi ili kubaki na hali yao waliyoichagua ya kumwabudu Mungu wa kweli.
|
||
|
|
||
|
# ujumbe huu wa ukombozi umetumwa
|
||
|
|
||
|
Kwa maneno mwngine; "Mungu ameshatuma ujumbe wake wa wokovu"
|
||
|
|
||
|
# Ukombozi huu
|
||
|
|
||
|
Neno hili linamaanisha kwamba; "Mungu atawaokoa watu"
|
||
|
|
||
|
# hawakumtambua
|
||
|
|
||
|
"Hawakuweza kabisa kumtambua huyu mtu Yesu alikuwa ni mmoja ambaye Mungu alimtuma kuwakomboa."
|
||
|
|
||
|
# Ujumbe wa manabii.
|
||
|
|
||
|
Unawakilisha; "Maandiko ya manabii" au "Ujumbe wa manabii."
|
||
|
|
||
|
# ambao unasomwa
|
||
|
|
||
|
"Ambao mtu anausoma"
|
||
|
|
||
|
# walitimiliza ujumbe wa manabii
|
||
|
|
||
|
"Hakika walitenda kama vile Manabii walivyosema."
|
||
|
|