forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
671 B
Markdown
33 lines
671 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Luka anaelezea historia kuhusu unabii huko Antiokia.
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Neno hili linatumika kuweka kituo katika simlizi hiyo kuu.
|
||
|
|
||
|
# manabii wakashuka kutoka Yerusalemu mpaka Antiokia
|
||
|
|
||
|
Yerusalemu ilikuwa juu zaidi ya Antiokia, hivyo ilikues kawaida ya Waisraeli kusema wanapanda kwenda Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
# Agabo ndilo jina lake
|
||
|
|
||
|
"Jina lake alikuwa akiitwa Agabo
|
||
|
|
||
|
# akiashiriwa na Roho
|
||
|
|
||
|
"Roho Mtakatifu alimwezesha kutoa unabii"
|
||
|
|
||
|
# njaa kali itatokea
|
||
|
|
||
|
"Upungufu mkubwa wa chakula utatokea"
|
||
|
|
||
|
# Juu ya dunia yote
|
||
|
|
||
|
Akimaanisha, "Katika dola yote ya Kirumi"
|
||
|
|
||
|
# wakati wa siku za Klaudio.
|
||
|
|
||
|
Wasikilizaji wa Luka wangejua kwamba Klaudio alikuwa Mtawala wa Rumi wakati huo.
|
||
|
|