forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
709 B
Markdown
33 lines
709 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Petro anawajibu Wayahudi kwa kuwaambia juu ya maono na kile kilichotokea katika nyumba ya Kornerio.
|
||
|
|
||
|
# Petro alianza kueleza
|
||
|
|
||
|
Petro hakujaribu kusema maneno ya kuwapinga Wayahudi waumini, bali alijibu kwa maelezo ya kirafiki na hekima.
|
||
|
|
||
|
# Kwa undani
|
||
|
|
||
|
"Hakika ya kile kilichotokea"
|
||
|
|
||
|
# Kama kitambaa kikubwa
|
||
|
|
||
|
Chombo kilichoshikilia wanyama kilionekana kitambaa kikubwa.
|
||
|
|
||
|
# Chenye pembe nne
|
||
|
|
||
|
"Kikubwa chenye pembe nne"
|
||
|
|
||
|
# wanyama wenye miguu minne waishio katika nchi,
|
||
|
|
||
|
"Wanyama wa miguu" Mwitikio wa Petro ulilenga sheria ya Musa iliyokuwa inazuia kula baadhi ya wanyama.
|
||
|
|
||
|
# Wanyama wa mwitu
|
||
|
|
||
|
Pengine ni wanyama wasioweza kufugwa.
|
||
|
|
||
|
# wanyama watambaao
|
||
|
|
||
|
Hawa ni wale waendao kwa kutambaa.
|
||
|
|