forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
613 B
Markdown
29 lines
613 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Petro anaendelea na Kornerio pamoja na wageni wake.
|
||
|
|
||
|
# ambaye ni Bwana wa wote
|
||
|
|
||
|
"Wote" maana yake watu wote"
|
||
|
|
||
|
# Yudea yote
|
||
|
|
||
|
"Katika maeneo mbalimbali ya Yudea"
|
||
|
|
||
|
# baada ya ubatizo ambao Yohana alitangaza
|
||
|
|
||
|
"Baada ya Yohana kuhubiri kwa watu kurubu na kubatizwa"
|
||
|
|
||
|
# Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na kwa nguvu
|
||
|
|
||
|
Roho Mtakatifu na nguvu za Mungu zimenenwa kana kwamba ni vitu vinaweza kumiminwa juu ya mtu.
|
||
|
|
||
|
# wote walioteswa na ibilsi
|
||
|
|
||
|
"Watu wengi waliokuwa wanapitia mateso ya shetani"
|
||
|
|
||
|
# Mungu alikuwa pamoja naye.
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha; "Mungu alikuwa akimtia nguvu kuzitenda kazi zote"
|
||
|
|