forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
773 B
Markdown
29 lines
773 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Simulizi inarudi nyuma kwa Sauli na wokovu wake.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inatupatia picha kwa kutujulisha kuwa Sauli alikuwa akiendelea na kazi zake tangu Stefano alipouawa kwa kupondwa kwa mawe.
|
||
|
|
||
|
# kuendelea kuongea maneno ya mauaji dhidi ya wanafunzi
|
||
|
|
||
|
Kiwakilishi cha jina "mauaji" linaweza tafsiriwa kama kitendo: aliendelea kuongelea vitisho, hata kwa kuwaua wanafunzi.
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili ya masinagogi
|
||
|
|
||
|
Inazungumzia juu ya watu katika Sinagogi. "Kwa watu wa Sinagogi" au "Kwa viongozi wa Sinagogi"
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba akimpata
|
||
|
|
||
|
Kama akimpate mtu yeyote
|
||
|
|
||
|
# aliye katika Njia ile
|
||
|
|
||
|
"anayeyafuata mafundisho ya Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Anaweza akawapeleka Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Anaweza akawapeleka kama wafungwa.' "ili viongozi wa wayahudi wapate kuwahukumu na kuwasulubisha".
|
||
|
|