forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
403 B
Markdown
21 lines
403 B
Markdown
|
# wakaziba masikio yao
|
||
|
|
||
|
Waliziba masikio yao wasiweze kusikia zaidi alichokuwa akisema Stefano.
|
||
|
|
||
|
# Nguo za nje
|
||
|
|
||
|
mavazi ya nje au nguo mojawapo walizokuwa wakivaa juu ya nguo zingine.
|
||
|
|
||
|
# Wakamtupa nje ya mji
|
||
|
|
||
|
baraza la wazee wakampiga Stefano wakamkamata kwa nguvu na kumtupa nje ya mji
|
||
|
|
||
|
# miguuni mwa
|
||
|
|
||
|
"mbele ya "kwa kusudi la kuzilinda
|
||
|
|
||
|
# kijana
|
||
|
|
||
|
Sauli alikuwa na umri wa kati ya miaka 30 wakati ule.
|
||
|
|