forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
551 B
Markdown
21 lines
551 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Viongozi wa dini walianza kuwatesa waumini
|
||
|
|
||
|
# Lakini
|
||
|
|
||
|
Neno "lakini" linaanzisha habari kinzani. Unaweza kutafasiri hii kwa namna ambavyo lugha yako hutambulisha habari kinzani.
|
||
|
|
||
|
# kuhani mkuu aliinuka,
|
||
|
|
||
|
Neno "kuinuka" linamaanisha Kuhani mkuu aliamua kuchukua hatua, si kwamba aliinuka tu kutoka kwenye kiti chake alichokikalia.
|
||
|
|
||
|
# na walijawa na wivu
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha walijawa na wivu sana
|
||
|
|
||
|
# wakanyosha mikono yao kuwakamata mitume
|
||
|
|
||
|
Waliwakamata mitume kwa nguvu, kwa kuwa walikuwa wameagiza walinzi wao wapate kuwakamata mitume.
|
||
|
|