forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
531 B
Markdown
17 lines
531 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Maelezo ya namna wakristo walivyokuwa wakishirikiana mahitaji kwa baadhi ya wakristo kuuza mali zao. Luka anatuambia habari za waumini wawili Anania na Safira walivyohusika katika ushirika huo.
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
"Lakini sasa." Hii inaonyesha sehemu kumalizika na kuanza kwa maelezo ama habari mpya.
|
||
|
|
||
|
# Mke wake pia alilijua
|
||
|
|
||
|
"Mke wake pia alijua kuwa Mmewe alikuwa ametunza nyumbani sehemu ya fedha kwa mauzo ya shamba lao".
|
||
|
|
||
|
# kuiweka kwenye miguu ya mitume.
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha kwamba waliwasilisha hiyo fedha kwa mitume.
|
||
|
|