forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
617 B
Markdown
25 lines
617 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Siku moja; Petro na Yohana wanakwenda hekaluni
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mstari wa 2 unatoa mazingira juu ya mtu aliyekuwa kiwete.
|
||
|
|
||
|
# ndani ya hekalu
|
||
|
|
||
|
"katika eneo la hekalu" au "katika hekalu." walikuwa hawakuenda ndani ya jengo la hekalu ambamo makuhani waliotumika tu ndio walikuwa wanaruhusiwa.
|
||
|
|
||
|
# Mtu fulani, kiwete tangu kuzaliwa, alikuwa akibebwa kila siku na alikuwa akilazwa katika mlango wa hekalu.
|
||
|
|
||
|
Kila siku watu walikuwa wakimbeba mtu huyo na kumlaza karibu na mlango wa hekalu.
|
||
|
|
||
|
# Kiwete
|
||
|
|
||
|
Asiyeweza kutembea
|
||
|
|
||
|
# mlango wa hekalu ulioitwa mzuri
|
||
|
|
||
|
Mlango wa hekalu uliokuwa ukiitwa mzuri.
|
||
|
|